Hijab zina weza kuharibu au kupendezesha Mavazi yako kama itavaliwa vibaya au ipasavyo, wengi huwa tunajiuliza zile basic hijab za kuwa nazo kwa sababu ki ukweli kuna kila aina na kila rangi lakini zipi ndizo muhimu hasa? kwa kulitambua hilo tume amua kuwaletea hapa ubaoni Hijab 5 muhimu kuwa nazo ambazo sisi kama Afroswagga tumeona ni muhimu
- The Black Hijab ( Hijab ya rangi nyeusi) – Hii ni muhimu kwa sababu ina valika na kila vazi na katika kila occasion iwe formal occasion au informal, kizuri zaidi kuhusu black hijab ni pale unapo kuwa na safari na hujui uvae hijab ya rangi gani hii huwa pale kukusaidia.
- Neutral Hijab (rangi zilizo tulia) hizi ni kama rangi ya nude, grey, beige hizi ni muhimu kuwa nazo hasa kama wewe ni mpenzi wa kuvaa nguo za rangi rangi hizi husaidia ku tone down zile rangi rangi. pia kama ni mpenzi wa ku match mavazi na hijab.
- The Fancy Hijab ( zile hijab zenye stones na urembo urembo) – hizi ni zile hijab zenye urembo kama stones,crystals etc hizi ni muhimu katika mitoko kama sherehe,harusi, mihaliko ya ftari jioni
- Gold, Silver Hijab – kwa wale ambao wanapenda kuonekana very fancy kwenye sherehe lakini bila kuvaa hijab zenye mabo mengi kama stones etc hizi huwa ni chaguo zuri zaidi
- Statement Hijab/Floral Hijab (Hijab zenye maua maua) – hizi zenyewe huwa zina fanya kazi ya ku-make statement pale unapo vaa nguo za neutral ukivaa na hizi una pendeza sana.
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/5-must-own-hijabs/ […]