Juma lililopita lilikuwa na mengi, sherehe, photoshoots, engagement etc. Na kama ilivokuwa kawaida kukiwa na matukio basi sisi huwa tunaangalia namna ambavyo watu maarufu wamehudhuria je mavazi yao yalikuwa on point? Je makeup na nywele zilitulia? Na tuna wrap up na kuwaletea hapa maoni yetu.
Tunaweza kurudia kusema makeup artist wako serious na kazi zao, hawataki utani, tumewa-spot watu maarufu hawa sita na makeup looks zao ambazo kwetu tumevutiwa nazo,
Amina, Fahyma & Kajala served faces ikiwa kila mmoja alikuwa unique kwa namna yake, tumependa namna ambavyo makeup zao zimetulia.



Munalove, Queen Darleen & Nandy hawa wao walikuwa ki-sherehe sherehe zaidi kuanzia mavazi yao mpaka makeup zao walikuwa wamepop.



well tuambie yupi amekupendeza zaidi na makeup yake?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/6-makeup-looks-from-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 80489 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/6-makeup-looks-from-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/6-makeup-looks-from-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/6-makeup-looks-from-last-week/ […]