Make up, Make up, Make up, siku hizi kila mtu penda apakwe make up ipendeze usoni na si kama zamani watu walikua wakipaka eye shadow upande mmoja blue nyingine pink (don’t even know who invented this trend), Jacqueline Ntuyabaliwe kwa sasa ana julikana kama Jacqueline mengi alikua miss Tanzania ambae kwa sasa ana jishugulisha na ujasiriamali, Jacque ni moja kati ya wana mama ambao wakipaka make up utapenda sababu inakuwa very neat, na kitu kimoja au viwili tume jisunza kwake ni simplicity is major key linapo kuja swala la make up na Bold lipstick ni kitu unacho hiji ili kuchangamsha sura yako. Hizi ni 6 kutoka kwake zilizo tuvutia zaidi
Nude lipstick goes with dark eye shadow
Pink una weza kuona eyeliner kwa mbali na nude eyeshadow
red Lipstick na minimum make up
winged eye shadow na nude lipstick, the highlighter is poping
hapa ali change kutoka nude to bold pink lippie
hii ni our favorite love the grey eye shadow, tumependa red lipstick ime kaa penyewe na of course highlighter haija danganya ime mpodoa kapodoka
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…