Makeup is a blessing, like literaly. Ni namna ya kuimprove muonekano na wakati mwingine kucompliment vazi. Makeup hu-boost confidence kwa kuongeza uzuri asili au kwa kuficha matatizo madogo madogo katika uso na wakati mwingine mwili. Just a reminder you are beautiful na mwenye thamani ukiwa na makeup na bila makeup.
Pamoja na uzuri wa makeup, ni muhimu kujua namna ya kupaka makeup vizuri na makeup ya kupaka katika nyakati mbalimbali. Muonekano ni CV na makeup ni sehemu ya CV hiyo. Makeup inaweza kufanya uonekane mjanja au mshamba, high class au low classy au ratchet. Kupaka makeup sahihi katika matukio sahihi itafanya uonekane classy.
- Wakati Wa Mchana
Muda wa mchana ni wa ku ‘go easy’ on the look. During the day tunaachana na hizi mambo za kucontour na kuhighlight. Ila kama una-insist basi kwa mbali sana hata isiwe noticeable. During the day pia tunaditch hizi mambo za kung’arisha pua na mashavu excessively…sweetheart we know you can glow but jua linasaidia katika hilo during the day.
Matukio mengi ya mchana (na asubuhi) ni kwenda kazini, lunch dates, mikutano, networking events. Katika mida kama hii I suggest makeup zenye rangi zilizopoa like nudes, pinks, browns na lipgloss. Skip the whole glitter things. Unaweza kuzungushia lipstick na lip liner au lipstick nyingine kutengeneza ombre look.

Kwa lipstick zenye rangi kali hakikisha you go easy kwenye macho. Kma unapaka rangi kali kama red, bright pink e.t.c then macho yako yasiwe na makeup nyingi. Some nice eyebrows na paired with neat lashes zinatosha.
Kwa lipstick zilizotulia unaweza kupaka eyeshandow but isiwe crazy, usiweke rangi nyingi nyingi unless you want to look ratchet. Kama kawaida hakikisha foundation inamatch ngozi yako au paka tinted moisturizer. Eyelashes ziwe kama kope za binadamu, sio zile nzito kama za mdoli. Human hair strip eyelashes are the best au weka individual lashes.
- Wakati Wa Usiku
Night time ni muda wa kujiachia…..but, kuna limits pia kwa classy women. Kwanza makeup inatakiwa kuboresha muonekano na sio kukufanya mtu mwingine isipokuwa tu katika matukio machache mfano uko kwenye runway but hapa naongelea matukio katika maisha halisi.
Usiku unaweza kuhighlight na kucontour, you can highlight your nose, forehead, kidevu na mashavu ila sio sasa uonekane kituko. Kuwa na kiasi. Usiku ni muda wa kuexperiment with colours but kumbuka ukiweka rangi kadhaa kwenye jicho basi mdomoni weka rangi isiyokuwa kali. Kma aunaenda on a date hakikisha you look cute but usiende na sura ya mtu mwingine, next time mnaonana mtu anakusahau.

A lil glitter hapa na pale ni poa. Classy women hawapaki makeup zenye rangi nyingi usoni. Ukitoa nudes basi hakikisha hauna Zaidi ya rangi tatu usoni hapa zikiwemo rangi za kwenye eyeshadow unless wewe ni professional na unajua namna ya kucheza na rangi nyingi kutengeneza minimal look. Unapotoka na marafiki hususani wa karibu then unaweza kupaka makeup crazy kidogo.
A reminder, kuna exceptions katika hizi rules and kila mtu ana uhuru wa kuchagua anataka aonekane vipi but if you want to look classy then this is it
Imeandikwa na @elegancebyRee
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/aina-za-makeup-na-wakati-sahihi-wa-kuzipaka/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/aina-za-makeup-na-wakati-sahihi-wa-kuzipaka/ […]