Kipindi cha nyuma tuliona wanja ni nini, ulipo anzia, aina za wanja, faida kwa ujumla na matumizi yake. Lakini kuna ina nne za wanja ambazo ndio zina julikana sana na kila aina moja ya wanja ina hasara na faida zake, tukukumbushe tu aina hizo nne za wanja tulizo ziongelea kipindi kilicho pita
Liquid eyeliner (wanja wa maji maji)
Wanja wa pensil
Wanja wa kungu
wanja wa gel
1) Faida za wanja wa maji maji (liquid eye liner)
- unakaa muda mrefu bila kufutika na nyingi huwa zina water proof
- unaweza ku chora mionekano mbali mbali katika jicho
Hasara za Liquid eye liner
- ina chukua muda kupaka
- ina hitaji uzoefu si nzuri sana kwa wanao anza
- uchukua muda kuufuta
2) wanja wa kungu
Faida za wanja wa kungu
- ina weusi mzuri (blackest eyeliner) tofauti na wanja nyingine
- kwa maji ya moto na kitambaa unaweza kufuta wanja wa kungu ki rahisi
- inakupa muonekano mzuri na soft hasa utumika kwa bibi harusi
- una tumiwa katika chini ya jicho
Hasara za Wanja wa Kungu
- si rahisi kuipata madukani na brand zinazo utengeze ni chache
- usipo pakwa vizuri una chukiza
Wanja wa Pensil
Faida za wanja wa Pensil
- Rahisi kupaka (kuutumia) hata kwa wanao jifunza
- haukauki na una kaa kwa muda mrefu
- una tengeneza muonekano nadhifu
- zipo katika rangi tofauti tofauti
Hasara za wanja wa Pensil
- una futika kirahisi (hautakiwi kuugusa)
- una takiwa ku chongwa mara kwa mara
Gel eyeliner
Faida za Gel eyeliner (wanja wa gel)
- haufutiki haraka
- rahisi kuubeba (kusafiri nao)
- ina kupa mionekano tofauti tofauti
Hasara za Gel eyeliner
- unachukua muda kukauka
- unahitaji brush kuutumia
matumaini yetu umeelewa na ume furahia somo tukutane ijumaa ujayo kwa kitu kingine
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/aina-za-wanja-hasara-na-faida-zake/ […]