Baada kuona video ya Bruno Mars Na Cardi tukasema okay the 80’s are official back, maana Cardi na Bruno mars walivaa kizamani lakini vimekuwa styled kisasa, mwaka jana mwishoni tuliona statement earings zilivyo rudi kwa kasi ambapo katika video hii tumemuona Cardi amevaa pia, oh well the colorful bomber jacket, boots na socks zilikuepo pia.
Lakini inaonekana haija ishia hapo wabunifu nao wameanza kurudisha accessories ambazo tulisha zisahau, mbunifu Alexandra Wang amerudisha vibanio hivi vya meno ambavyo vilitumika sana miaka ya 90-2000’s mwanzoni, ni vibanio kama vina meno meno na vinafaa kama una nywele ndefu au umesukia wig au rasta, vinakaa vizuri sana kubania nywele lakini vilipotea ghafla Alexandra Wang amevirudisha katika run way yake ya mwaka huu, models wake wali tembea katika run way wakiwa wamevalia mavazi yake lakini pia wamebana na vibanio vya aina ya claw clips vyenye brand logo yake
Well the hair accessory trend haikushia kwa Wang bali brand ya Balenciaga nao wamekuaja na scrunchies ni vibanio vya nguo ambapo vinakaa kama mpira, hivi vinatumika sana kwenye kubania pony tails ( kidoti) well they are back na mbunifu balenciaga amevirudisha vikiwa na logo yake ya Balenciaga, by the power of branding Balenciaga anauza hivi vibanio $225 na kama 495,ooo/- za ki Tanzania.
Je ume furahi hizi 80’s & 90’s accessories kurudi au bora zinga baki tu miaka hio?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/alexander-wang-and-balenciaga-are-bringing-the-80s-90s-hair-accessories-back/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 1250 additional Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/alexander-wang-and-balenciaga-are-bringing-the-80s-90s-hair-accessories-back/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 18142 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/alexander-wang-and-balenciaga-are-bringing-the-80s-90s-hair-accessories-back/ […]