Mwaka unaanza kuwa interesting katika Fashion tunapenda tunacho kiona blonde ina pumzishwa, wasanii hasa wa kiume hawakua na style’s nyingi za nywele wengi walikua wana bleach nywele au kuweka vile virasta lakini mwaka huu inaonekana wengi wameamua kuja kivingine as tulianza kumuona Ben Pol akiwa ameweka nywele zake rangi ya kijani na sasa Ali Kiba amekuja na nywele za rangi nyekundu,
Wenyewe huwa wanasema “New Year New Me”, huyu ni Ali Kiba mpya kabisa ambae hatuja mzoea, tume mzoea kiba akiwa na natural hair zake nyeusi na kama kawaida yake keeping it low key, lakini safari tunaona ameamua kuja kivingine, may be ni style yake aliyo weka msimu wa Valentine lakini inawezekana pia ana kitu kipya kinakuja kina hitaji awe hivyo au kaamua kujiweka kisanii zaidi.
He styled his red hair with denim on denim outfit, which imeonekana kupendezea tuna subiri picha nyingine akiwa na mtoko mwingine tuone je Yaliyomo Yamo?
Baada ya Kiba kupost picha hio ya nywele nyekundu ilichukua dakika chache tu Ben Pol alipost picha yake pia na kuandika “trend setter” kama yeye ndio ka trendisha style ya nywele za rangi au labda ni mawazo yetu tu,
Lakini pia Ben Pol amepost picture nyingine ya Ali Kiba na Ommy Dimpoz na kusema ame farijika kupata washirika wenzie wa nywele za rangi rangi.
either way tunapenda wasanii wakiwa wanatoka nje ya comfort zone yao na kujaribu vitu vipya
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/ali-kiba-debuted-new-hair-style/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/ali-kiba-debuted-new-hair-style/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/ali-kiba-debuted-new-hair-style/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/ali-kiba-debuted-new-hair-style/ […]