Enjipai ni jina la kampuni ya mwanadada Nasreen Karim, ambayo ina deal na kutengeneza accessories za shanga. Ni moja kati ya kampuni ambazo tunajivunia kuwa nazo sio kwamba tu inatoa ajira lakini pia ina saidia kufanya utamaduni wetu uendelee kuwepo kwa kuchanganya na mitindo ya sasa.
ana vitu vingi ikiwepo hereni, cheni na mikoba ila kilicho tuvutia zaidi kwa sasa ni hizi colorful beaded clutch kutoka kwake.
Nasreen ameistyle hii clutch ya orange, gray na nyekundu mara mbili ambapo mara ya kwanza alivalia na orange crop top, skin jeans nyeusi na pumps nyeusi, so chic.
Mara ya pili alivalia na culottes ya kijani,ย vest nyeusi akamalizia na nude heels na yellow beaded necklace, colorfulย ย
Lakini mwingine alieonekena kuvutiwa na clutch hizi ni Sofia Byanaku ambae yeye aliivalia na denim shirt dressย
Lakini pia Jokate Mwegelo nae alionekana kuvutiwa nayo.
Hii ya blue, nyeupe, nyeusi na orange ni our favorite.
Zipo za aina nyingi unaweza kutembelea Instagram page yao @enjipai kujionea zaidi
View this post on InstagramEnjipai beaded clutch ๐ #newcolor
A post shared by Since 2010๐น๐ฟ (@enjipaijewelry) on
Aina nyingine
View this post on InstagramEnjipai beaded clutch made it to Zanzibar #enjipai ๐
A post shared by Since 2010๐น๐ฟ (@enjipaijewelry) on
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda seโฆ https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…