Mwaka huu tumeona maendeleo mengi katika ukuaji wa makampuni hasa ya vipodozi Nchini kwetu, tumeona watu mbalimbali wakianzisha kampuni zao za vipodozi na tunaweza kusema hii ni hatua kubwa mno. Lakini kuna jambo moja ambalo linatu-disappoint nalo ni kupaka makeup kwenye matangazo yao huku wakiwa wanatangaza lotion, like make that make sense. Unapakaje makeup kisha unatangaza lotion ya ngozi? yaani una foundation, una concealer, umepigwa na highlighter halafu juu yake unapaka lotion unasema hii lotion itakusaidia kupata ngozi nyororo? Can we see that ngozi without huo msasa mliojipiga?

Tunajua mnawaangalia wengine Nje, kama Rihanna, Kylie Jenner na wengine ukiangalia matangazo yao inawezekana wancachukua models wenye ngozi nzuri saa nyingine hata hawajatumia hiko kipodozi lakini atleast wanatuonyesha fresh skin, kuliko sisi ambao tunapaka a full makeup kutangaza lotion like who are we kidding?
2022 let’s do better.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 60026 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-brands-tanzania-tuwe-realistic/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-brands-tanzania-tuwe-realistic/ […]