Ni rapper wa kike kutoka the industry ambapo ndani yake kuna Aika Navy Kenzo na Nahreel, Leo Rosa Ree kawa beuty crush wetu ni kutokana na jinsi anavyo jiweka tofauti na ma rapper wengi wa kike Tanzania, Rosa Ree ana paka make up, ana vaa ki-kike japo she keeping it gangster lakini muonekano wake ni mchanganyiko wa ugumu na sexiness.
Tunapenda jinsi anavyo wear her make up na bold lipstick ambazo zime kuwa kama ni statement muonekano wake
brown shades, hii ni moja ya ambazo tume zipenda kutoka kwake ukiangalia nywele ina u brown, lipstick na ka match na kishati na mmeona hereni yake? (major key)
gold glitter lipstick adding attitude even better
Rosa na Blue lipstick hapa tumependa hizo eye liner wings no colors, yoyote anae mfanyia make up huyu binti is not to be messed with
hapa tumependa eye shadow na hio ming’ao pembeni ya jicho ni Perfection
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…