Kuna wakati watu maarufu wana serve beauty looks mpaka unatamani wasivute, na kuna wakati unaona makeup kwa mtu maarufu unajiuliza hii imefanywa bure au kulikuwa na some sort of discount? Well tuseme kwasasa tunaona wengi wanajitahidi na looks zao, makeup artist wanajitahidi kujua rangi na namna ya kucheza na nyuso zao week iliyopita tumeona looks hizi chache zilizotuvutia
Hamisa Mobetto looked like a doll on this face beat , Maua Sama keeping it sassy with the glossy lips and sassy long eyelashes.


Wengine tuliowaona ni Gigy Money pamoja na Shilole, Wakti Gigy alichagua bold lipstick, Shilole yeye alikuwa na ombre nude lipstick.


Tunapenda tunachokiona kwenye swala la urembo Tanzania well tuambie look ya nani imekuvutia zaidi?
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-from-last-week-3/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-from-last-week-3/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-from-last-week-3/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 7519 more Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-from-last-week-3/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-from-last-week-3/ […]