Japokuwa wanasema tabasamu inanguvu kuliko make up, lakini tunajua makeup nayo ina ujazo wake katika muonekano kwa wote mwanamke na mwanaume.
Week hii tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa face beaten well lets say nani na nani ambao wametuvutia na looks zao.
Wema Sepetu was dolled up na Lavie Makeup, We love this look the nude lips, perfect bows, eyelashes on point tunaweza kusema Lavie hajawahi kumkosea Wema its a perfect duo.

Elizabeth Michael, she blessed our IG this week na hii makeup look, tumependa makeup yake, tunajua how red lipstick inavyotoa uso kwenye 0-100 ambacho tumeona kipo off kwenye hii look ni nywele. The hair is giving us early 2000’s vibes pale ambapo zilikuwa zinatoka and hatujui kuzibandika.

Aaliyah took the best makeup look of the week clown, hii face beat ni safi lakini pia natural haijazidi wala kupungua sana usoni mwake na nywele zimebanwa neatly kabisa. Talking about minimalist makeup look goals.

Fahyma yeye alimua kuwa extra na muonekano wake, ametupa extra baby hair, extra pearls usoni lakini pia akaamua kuwa na bold red lips, sisi tunaiita hii extra isiyoumiza.

Tuambie makeup look ya nani imekutia zaidi week hii?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 55074 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-of-the-week-from-elizabeth-michael-wema-sepetu-and-others/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-of-the-week-from-elizabeth-michael-wema-sepetu-and-others/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 28634 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-of-the-week-from-elizabeth-michael-wema-sepetu-and-others/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-of-the-week-from-elizabeth-michael-wema-sepetu-and-others/ […]