Tumeanza week nyingine, ni time ya kuwapa review ya week iliyopita, tumeona nini kime-trend na nani alipendeza na nani alikuwa mmh.
Week iliyopita kilicho trend ni beauty looks, tumeona watu maarufu wengi wakiwa wamepost mionekano yao ya makeup and once again tunasema makeup artist wa Tanzania your the ish.
Kiukweli tunapenda tunapoenda kwenye swala zima la makeup, this makes us wonder how can makeup artist snap harder than out designers? Makeup artist wame invest sana kwenye kazi zao ukiachana na kupaka makeup nzuri lakini pia picha za kazi zao zinafaa kabisa kuwekwa kwenye wallet (joke) anyways lets see the looks
Elizabeth Michael went colorful on her makeup, she had blue and gold eye shadows akamalizia na nude lipstick, ain’t she looking yummy?

Makeup By Eddie graced Ebitoke’s face with this flawless makeup look, You can real eat that face like a snack

Zuchu said she will go for earth tone,She really served us a full meal with this makeup.

Linah Sanga came through with bold lipstick, We love the color combination between makeup and outfit

Well Afromates let us know who took the beauty look of the week crown?
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-of-the-week/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-of-the-week/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-of-the-week/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-of-the-week/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-of-the-week/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-of-the-week/ […]