New Day, New Week, Same Hustles.. Heri ya week mpya afromates na kama ilivyoada huwa tunaanza week kwa kuangalia week iliyopita kulikuwa na nini, nani amefanya vyema na nani ameharibu.
Week hii tunaangalia mionekano ya nywele na makeup kutoka kwa watu maarufu mbalimbali akiwepo Hamisa Mobetto, Happiness Magese, Elizabeth Michael na Wema Sepetu Let’s Get Started
- Hamisa Mobetto
Hamisa looked gorgeous in make up by jojo beat, akiwa amesukia faux locks zenye mix ya blonde na nyeusi wakati akiwa na simple makeup beat we love the eye liner na pink lipstick to match with her blazer.

- Happiness Magese
Talking about a simple yet popping face beat, Happiness alikuwa in green dress ambapo makeup yake ilikuwa simple eyeliner & eye shadow, nyusi zilizowekwa vyema, touch’s up za foundation akamalizia na bold lipstick. Beautiful

- Elizabeth Michael
Eliza yeye alihudhuria kitchen party gala 2020 akiwa amevalia pink na blue dress, kichwani akiwa amefunga kilemba chake vyema na popping makeup, All Shades of pink kwenye eye shadow na lipstick perfect eye brow na akamalizia na statement earrings. lovely

- Wema Sepetu
As usual Wema hanaga kazi mbaya inapokuja kwenye swala la makeup, tumependa eye lashes zake amemaliza muonekano wake na nude lipstick.

Well Afromates tuambie ni look ya nani umeipenda zaidi?
Related posts
HOT TOPICS
The Hardest Part Of Being A Nigerian Bride Is To Comeup With A Bride Look That Wont Match With Any Of The Guest’s A… https://t.co/8vfNPS0IYg
FollowItaly Kumekucha Afromates #TheKardashian #TheKardashian wapo huko kwaajili ya the wedding of the year. Haya mnasubiri lo… https://t.co/kENoAG9RQg
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…