Ukiachana na matatizo madogo madogo waliyo nayo makeup artist wanakazi kubwa sana katika kuwaweka watu maarufu katika hali nzuri hasa upande wa sura, kizuri zaidi ni namna sasa hivi wanapatia rangi za makeup kuendana na rangi ya mteja lakini pia kujua makeup gani inaendana na muda gani.
Week hii tumeona watu maarufu hawa wakiwa na makeup zao nzuri kabisa, wengi wakiwa wakiendana na mwezi wa Ramdhani, wengine wakiwa kwenye Indian theme huku wengine wakiwa kawaida tu, tunaweza kuona namna makeup artist wanapigania ugali wao maana kila mmoja wao amempendezesha mteja wake kwa namna yake. Baadhi ya look tulizoziona ni kutoka kwa
Diva The Bawse, Jacqueline Wolper & Maua Sama

Wengine ni Wema Sepetu, Halima Yahya na Lulu Diva

Tuambie muonekano upi umekuvutia zaidi kati yao?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…