One thing ambayo watu maarufu kwasasa huwezi kuwakuta wakiwa hawaja pendezesha nyuso zao, they always bring the A game when it comes to makeup and skincare, well week iliyopita tumewaona Irene Uwoya, Wema Sepetu, Tessy Chocolate, Jihan Dimack, Meena Ally na Batuli wakiwa kwenye makeup zao safi na za kuvutia.
Ikiwa kila mmoja alikuwa na style yake kutokana na matakwa yake pamoja na sehemu anayo kwenda lakini one this is for sure wote wamependeza na makeup zao.

Ukiachana na makeup utapenda pia tabasamu zao pamoja na hair styles walizo weka, you can tell they mean business

Anyways tuambie ni look ya nani imekuvutia zaidi kati ya watu maarufu hawa?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-spotted-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 58998 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-spotted-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-spotted-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-looks-spotted-last-week/ […]