Wengi wetu tunapatwa na hili tatizo, baada ya kunyoa iwe ndevu, miguu, mikono au sehemu mbali mbali ili kupunguza nywele/ vinyweleo visivyo takikana,tunapatwa na vipele, muwasho au ngozi kuwa nyekundu hii hutokana na zile nywele au vinyweleo ambavyo vime jinyolongota sana. Hizi ni njia nne rahisi za kutumia ili kuweza kuondoa tatizo hilo
Aloe Vera – inajulikana/kusifika kwa kuwa na wingi wa antibacterial na anti-inflammatory properties. Weka kiasi kidogo cha aloe vera gel kwenye uvimbe uliotokana na kunyoa paka mara mbili kwa sikuna massage taratibu(usifute). Endelea hadi uvimbe utakapopungua.
Chumvi – Hizi kila mmoja wetu anayo nyumbani kwake, ni nzuri pia katika kuondoa miwasho baada ya kunyoa unachotakiwa kufanya ni weka vijiko 2 vya chumvi kwenye maji ya kikombe chenye maji ya uvuguvugu kisha koroga mpaka chumvi iyeyuke na maji. chovya pamba katika maji yako na upake sehemu iliyo athirika kisha acha ikauke, rudia process hii kila siku na utapata matokeo.
Limao – Juisi ya limao sio tu inapunguza wekundu kutokana na kunyoa lakini pia inasaidia kuzuia maambukizi kama umetumia nyembe za zamani, kata kipande cha limao nusu kisha kamua juisi yake katika bakuli, halafu chukua pamba na upake sehemu iliyo athiriwa acha juisi ya limao ikauke kisha futa kwa maji ya baridi
Ni mategemeo yetu utapata matokeo mazuri lakini pia usisahau kusoma tips nyingine hapa
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-tip-njia-rahisi-za-kuondoa-razor-burn-baada-ya-kunyoa/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-tip-njia-rahisi-za-kuondoa-razor-burn-baada-ya-kunyoa/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/beauty-tip-njia-rahisi-za-kuondoa-razor-burn-baada-ya-kunyoa/ […]