Kama kuna kitu ambacho watu maarufu hutulia mkazo ni mionekano yao, as a star you need to bring your A game off & on the screen, ikiwa una watu wanaokufuatilia basi unahitajika kuonekana vizuri kuanzia mavazi mpaka makeup zako. Lakini si tu makeup bali pia nywele na hata kucha, well hawa ndio tulio waona kutoka week iliyopita
Wema Abraham Sepetu, with a cute face like her’s ni mara chache makeup artist kumkosea hapa alionekana ku-match eye shadow yake na gauni ambalo ilikuwa na rangi ya gold, ombre lips na perfect done eye brows,kwa nywele tunawaachia muwe ma judge

Aunty Ezekiel wakiwa wote pamoja na Wema walifanyiwa makeup sehemu moja, Aunty alikuwa na smokey eyeshadow, glossy lipstick na eye brows zilizotulia huku kichwani akiwa na low bun hair style.

Nandy yeye alikuwa na simple makeup look, long lashes akiwa amemalizia muonekano wake na blonde hair.

Muna love, Mama mtumishi ali serve face akiwa na pink lipstick well installed medium lashes, perfect eye brows (we all know alipotoka mpaka hapa alipo) na akamalizia sleek back hair style

J.N.Mengi nae alikuwa na simple makeup look huku akiwa ameachia nywele mbele, how does she look 18?

well tuambie ni beauty look ya nani imekuvutia zaidi hapa?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/beuty-looks-from-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/beuty-looks-from-last-week/ […]