Hakika kwetu Afroswagga huwa twafurahi tuonapo watu mbalimbali katika tasnia yetu ya urembo na ubunifu wakikua nakuweza kuleta bidhaa mpya sokoni iwe ni ya nywele, urembo, kucha au hata ngozi.
2018 tumeona baadhi ya bidhaa za urembo zilizoweza fanya vizuri huku tukitaraji kuona zikikuwa na kufikia katika masoko ya kimataifa.
MAKE UP- LAVIE COSMETICS, LASHES
Make-up artist Lavie ameweza launch brand yake ya vipodozi pia lashes na tumeziona zkifanya vizuri. Celebs na hata watu wa kawaida wameweza pendeza with Lavie nasi twampongeza kwa hatua hii, tukitaraji kuona akikwea pia internationally.
- NAIL PAINT-LAVY PRODUCTS
Hizi ni rangi za kucha toka kwa mwanamitindo Flaviana Matata ambapo zimeendelea kufanya vizuri sokoni. Katika kuboresha huduma with Lavy Products, wana a nail mobile clinic ambapo mteja hufuatwa alipo akiweka appointment hivyo kuwa manicured au pedicured popote ulipo.
- NYWELE- J_ADORE TZ
Katika brands za nywele ambazo zimefanya vizuri basi Mama Jadore ameweza kuwa miongoni mwao. Hudeal na nywele ambapo wig toka J_Adore, hutokoseaga. Pia warembo wetu katika mashindano ya Miss Tanzania tuliona wakipendeza na nywele hizi.
- BIDHAA ZA MWILI-BEDEE NATURALS
Maarufu kama Mama DD, hutengeneza aina mabalimbali ya bidhaa akitumia vitu asilia kwa ajili ya utunzaji na urembo wa nywele na ngozi ikiwemo mafuta, sabuni, massage oils, face masks na hata kwa ajili ya lishe. Hutumia vitu asilia kama sheabutter, matunda, maua pamoja na miti na huleta mabadiliko kwa mtumiaji.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/bidhaa-za-urembo-zilizofanya-vizuri-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/bidhaa-za-urembo-zilizofanya-vizuri-2018/ […]