Mwanamuziki Tanasha Donna kutoka Kenya amekuwa akitu-serve blonde hair styles back to back. Tanasha ali-debut blonde look yake ya kwanza April mwaka huu & she never went back, seems like what they say about blonde having more fun is true because she been having fun with her styles.
Kama wewe ni mpenzi wa nywele za rangi na unapata shida kujua style’s gani ufanye au unafikiria kwenda kubadilisha rangi nywele na ungependa kupata inspiration basi leave it to Tanasha to do so.
Kama ambavyo unaweza ku-style nywele zako za kawaida adding color to them haibalishi chochote zaidi ya kwamba zimebadilika tu rangi, unaweza kuona hapo chini namna ambavyo Tanasha ame-style nywele zake, from sleek low bun to bob cut hair style.
Lakini pia tukija kwenye rasta tumeona akiwa amezisukia za rangi ya blonde na kuzi-style kwa bantu knots na half braid hair style
well kuona au kuwa inspired zaidi unaweza kuangalia katika page yake ya instagram.
Related posts
HOT TOPICS
Italy Kumekucha Afromates #TheKardashian #TheKardashian wapo huko kwaajili ya the wedding of the year. Haya mnasubiri lo… https://t.co/kENoAG9RQg
FollowWhat We Loved Kutoka Katika #MissTz2022 Stage Presence On A Hundred, Walijiamini And They Had Fun
FollowWhat We Loved Kutoka Katika #MissTz2022 The Contestant Walijiandaa| Hair, Makeup, Shoes & Dresses ❤️
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…