Jinsi ya kufanya ukitaka kutumia yai kuboresha mwonekano wa ngozi:
- Chukua yai, changanya na asali kijiko kimoja cha chai, na mafuta ya Olive.
Chukua mchanganyiko huo kisha paka usoni na shingoni; kaa hivyo kwa dakika 15.
Hii itasaidia kama una mashimo usoni yanayotokea chunusi zinapochubuka.
Pia itasaidia kulainisha ngozi na kukuondolea michubuko au alama za kuungua zinazosababishwa na jua.
- Unaweza ukatenganisha kiini cha yai ama yai pingu ‘egg yolk’ na ule ute mweupe. Egg yolk ni ile sehemu ya manjano ya yai.
Chukua ute uweke kwenye bakuli na ukoroge na kupigapiga hadi mapovu yatokee kisha uichukue upake usoni na mwilini kwa dakika 15 kabla ya kuoga.

- Kuondoa uchovu
Ili kuondoa uchovu, chukua ute ule na upake katika sehemu ya chini ya macho na kisha baada ya dakika 10 uyaoshe.
Kufanya hivyo kutasaidia kuondoa mwonekano wa uchovu usoni.
- Iwapo unasumbuliwa na kuwashwa kwa ngozi, matumizi ya yai pia yanasaidia kuepuka tatizo hilo.
‘Barakoa’ ya yai ina utajiri wa “acid” za amino ambazo husaidia kupunguza na kuondoa miunguzo au muwasho mwilini unaotokana na protini inayopatikana kwenye yai
Imeandikwa na @binturembo
Related posts
7 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/boresha-muonekano-wa-ngozi-yako-kwa-kutumia-yai/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 62524 more Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/boresha-muonekano-wa-ngozi-yako-kwa-kutumia-yai/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 91217 more Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/boresha-muonekano-wa-ngozi-yako-kwa-kutumia-yai/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/boresha-muonekano-wa-ngozi-yako-kwa-kutumia-yai/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/boresha-muonekano-wa-ngozi-yako-kwa-kutumia-yai/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/boresha-muonekano-wa-ngozi-yako-kwa-kutumia-yai/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 96178 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/boresha-muonekano-wa-ngozi-yako-kwa-kutumia-yai/ […]