Kuna zile style za nywele ambazo huwa zinaonekana kupendwa sana na watu mbalimbali, na ukipita mitaani au kwenye social network unazikuta sana iwe kwa watu maarufu au tu watu wa kawaida, moja kati ya hair styles ambazo tumeona zina trend kwa sasa ni hii bubble ponytail. Hair style hii ni kama ile ponytail ya kawaida ila tu imeongezewa vionjo, tumewaona watu maarufu kama
Fahyma yeye she completed the look with a nice make up on.
Dayna Nyange yeye she gave us side bubble ponytail akiwa amemaliza muonekano wake na denim on denim outfit na sexy white top na fannyΒ pack
Wakati mwanamuziki Ariana Grande yeye alitu serve long bubble ponytail na kumalizia kwa ku-accessorize na bow tie
Vinka kutoka Uganda yeye aliamua kuipa style hii u-classy baada ya kuweka style hii na dramatic fashionable outfit, while serving modeling pose.
Afromates unaweza kufanya hii style mwenyewe nyumbani angalia hapo chini namna ya kufanya
View this post on InstagramA post shared by Journey With Izy (@debyizy) on
Related posts
HOT TOPICS
#AfroFix | #AfroFix Tuna Fix Nini? βββββββββββββββββ #AfroFix https://t.co/SID1P6QCPM
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa⦠https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa⦠https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show β Big Brother Africa. Kwa…