Miwani ya jua ni accessory ambayo hupaswi kukosa kuwa nayo, na hii ndio maana watu maarufu wengi wanapenda kuwa nazo. Kuanzia designer sunglasses mpaka zile ambazo ni za kawaida, kuna aina nyingi za miwani lakini design ambayo inatamba kwa sasa ni Eyecat Pearl Embellished Sunglasses.
Hizi ni zile miwani zimekatwa mkato wa kama macho ya paka halafu zimeongezewa urembo wa pearls juu yake kufanya zivutie na kuwa unique zaidi, as we all know sasa hivi normal is boring you have spice everything up kuwa wa tofauti, well tumeona watu hawa maarufu kutoka sehemu mbalimbali wakiwa wamevalia miwani hii
Tumemuona nayo mwanamuziki Linah akiwa amevaa white jumpsuit, amemalizia na boots nyeusi na belt nyeusi huku aki-accessorize na miwani hii ya eye cat pearl embellished.
Pia na mwanamuziki kutoka group ya Navykenzo – Aika Navy Kenzo akiwa amevalia miwani hii na peach crop top na high waist black jeans.
Tumemuona pia Rapper kutoka South Africa Moozlie akiwa katika NBAAfrica amevalia hii miwani na pull neck top nyeusi, belted blazer, skin jeans na high heels.
Tumemuona mwanamuziki Iggi Azelea akiwa amevalia aina hii ya miwani akiwa amevalia na vest nyeupe.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…