SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

CHEAP BEAUTY PRODUCTS KWA AJILI YAKO
Urembo

CHEAP BEAUTY PRODUCTS KWA AJILI YAKO 

Si kazi rahisi kwa mtu wa kipato cha chini ku maintain urembo wake, hasa kwa sasa ambapo kila mtu ana taka kuonekana mrembo na bidhaa nazo zina uzwa bei ghali hatari, wakati tunapitia pitia katika blog za wenzetu tukaona hii article ya beauty product zilizo chini ya Tsh 10,000 kutoka kwa http://bintiesque.com, tumeipenda tukaona si mbaya ku share na ninyi pia

1) Katika dressing table yako hutakiwi kukosa mafuta ya nazi haya ni multi functional iwe ngozi, nywele pia yana weza kuwa kama shaving oil. Kwa sasa una weza ukuta mafuta ya nazi yanauzwa hadi elfu 20,000 lakini kumbe yapo ya bei chini yanayo fanya kazi sawa tu na yanayo uzwa bei za juu kuna Parachute ambayo huuzwa kuanzia 8,000/=-5,000/= na pia kuna mafuta ya nazi ya minara ni 1,500/= tsh  tu

KMA-parachute-coconut-oil_1

2)Rose Water ni muhimu pia kwa ngozi na nywele si kitu cha kukosa nyumbani kwako, wengi huwa wana changanya rose water na manjano kwa ajili ya ngozi lakini pia ina weza kutumika kama toner pia katika nywele ni nzuri maji haya yanauzwa 2,500/= tsh tu

pro_FR1469652018

3) Excel Paris Lipsticks, hutakiwi kukosa a matte lipstick ambayo ina last 24 hors. Wengi wetu sasa hivi wana kimbilia mac lipsticks ambazo huuzwa kuanzia 10,000 kwenda juu lakini naweza kurecomend hii Excel Lipstick ina kaa muda mrefu na bei yake ni rahisi 1,000 tu kwa moja. nzuri zaidi kama utapaka lip balm kabla hujaipaka yenyewe ili kuipa midomo yako unyevu (kavu sana)

image

4) kuna make up removals za kila aina na kila bei lakini pia una weza kutumia baby wipes kutolea make up zako, kawaida make up removals zinauzwa kuanzia elfu 10,000 kwenda juu lakini baby wipes kuna mpaka za 2,000.

tumblr_l02je2nuce1qbqfy1o1_r1_500

Kama unavyo vingine vya kushare na sisi ili tuweze kuwasaidia na wengine wasiliana nasi kupitia

Facebook – afroswaggamag

Instagram – afroswagga

Twitter – afroswaggatz

 

 

Related posts