Coco Austin ni mwanamitindo, model na pia ni muigizaji ameingia matatizoni baada ya kusuka hizi rasta na kuzipa jina “coco swoop”, inajulikana au inaeleweka kwamba rasta ni moja ya utamaduni wa watu wa Africa, Coco kusuka rasta si kitu kibaya lakini kilicho wakera baadhi ya watu ni kwamba kwa nini azipe jina lake kama yeye ni utamaduni wake au ndio mzinduzi wa hizo rasta,
kwetu tuna style inaitwa kidoti si kwamba Jokate ndio aliizindua ila ni jina tu na hatuja wahi kugombaniana anyways hii style tumesha wahi kuiona na tunaendelea kuiona kutoka kwa watu maarufu wengi akiwepo Queen Bee yaani Bee amesuka kama miaka miwili nyuma hivi na yeye angeetia Bee Woop
Coco katika kujitetea akahari zaidi baada ya kutolea mfano mzungu mwingine aliye wahi kusuka rasta (saa nyingine ni bora kukaa kimya) hizi ndizo video mbili za Coco akiwa ana jitetea baada ya maneno kumfika hapa na kuamua kutoa ufafanuzi wake
nyingine
swali je Coco alifika mbali kuipa hii style jina lake? au sisi wa Africa tunapeleka haya mambo mbali?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…