Nini kina fanya nywele zikue haraka? wasichana wengi hujiuliza hili swali na hapo ndipo wanapo amua kutafuta majibu kupitia madawa ya salon ambayo ni ghali pia yana kemikali ambazo si nzuri. Kuna mafuta mazuri ya asili ambayo yana weza kukusaidia kukuza nywele zako bila gharama na pia hayana kemikali, leo tuangalie mafuta ya nazi na mafuta ya mnyonyo
Mafuta ya mnyonyo husaidia ku imarisha nywele na kujaza nywele zilizo katika.
Mafuta ya nazi yenyewe husaidia vingi ikiwemo kuondoa mba, kukuza nywele, kuzipa nywele protein na kuzuia ukatikaji wa nywele.
Kuna njia mbali mbali za kutumia mafuta haya
Castor oil – ili kupaka mafuta haya kata nywele zako katika mafungu mafungu na tumia pamba kupaka mafuta kwenye ngozi kisha zifanyie massage
Coconut oil – una weza kupaka mafuta haya mara mbili kila week kama ilivyo kuwa katika mafuta ya mnyonyo haya pia ukisha paka massage ngozi ya kichwa chako, itasaidia ukuaji wa haraka wa nywele.
Lakini pia unaweza kutumia mafuta haya Kama hair mask kwa kufanya hivi
Mahitaji
- Vijiko Vitano vya mafuta ya nazi
- Vijiko vitano vya mafuta ya mnyonyo
changanya mafuta hayo kisha paka kwenye ngozi ya kichwa bila kusambaza kwenye nywele, baada ya kupaka kichwa chote fanyia massage kichwa chako kwa dakika tano kisha sambaza kwenye nywele vaa kofia ya plastic na funga taulo kwa masaa mawili japo ukikaa nayo usiku mzima itapendeza zaidi, Kisha osha na fanya conditioning yako kama kawaida una weza kufanya hivi mara mbili au moja kwa mwezi, ukifanya inavyo takiwa utapata matokeo mazuri si tu nywele kukua bali zitakua na afya na kung’aa
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…