Ikiwa ni jumatano nyingine tena huko mitandaoni leo ni all about #WCW yaani Woman Crush Wednesday lakini kwetu leo tuna crush badly on Irene Paul’s natural hair, Irene ni muigizaji wa bongo movie mwenyewe huwa ana jifananisha na Angeline Jolie Well kama wana fanana kweli hivi, tuachane na hayo, Irene ni natural beauty jinsi ambavyo ngozi yake ina grow ni balaa kifupi ana jipenda ila leo tunaongelea nywele zake ambazo ni natural ( za asili) yaani haja weka dawa wengi wetu tunaitaga kipilipili
una weza kuona Irene anavyo penda nywele zake, kama ume mfollow kwenye page yake Instagram huwa ana post mara kwa mara kuhusu nywele zake na jinsi anvyo zihudumia
Lakini pia na yeye anauza bidhaa za nywele za asili na tuna weza kusema kama anacho kiuza ndicho anacho kitumia basi ni bidhaa nzuri maana nywele zake zina pendeza mno
Kama una penda natural hair na hujui nini cha kufanya mfollow Instagram – irenepaul001
her hair is so dope kila siku tukimuangalia ana tupa jibu la even african hair can grow usikate tamaa zi jali na zi tunze nywele zako zita kua
una weza kuiga style zake za nywele pia, if Irene Paul don’t inspire you to go natural we don’t know what or who will
Wasiliana nasi kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…