SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Davido & Ommy Dimpoz Wearing The Van Cleef And Arpels Bracelets
Urembo

Davido & Ommy Dimpoz Wearing The Van Cleef And Arpels Bracelets 

Kama ni mmoja ya wapenda accessories basi utakuwa umeshakutana nazo nyingi sasa hivi hizi bracelets au mikufu na pete zina-trend sana. Tunakutana nazo kwenye maduka mbalimbali huku bei zake zikiwa za kuridhisha lakini Je unajua kwamba hizi accerries original yake ni kutoka katika brand kubwa ya vito kutoka ufaransa?

Kutoka mwaka 1906 Van Cleef & Arpels wamekuwa wakitengeneza vito ambavyo vilisimama kama lucky, joy & optimism japo mwaka 1968 ndipo hii four leafe clover ndipo ilipokuwa introduced na brand hii ikipewa jina la Alhambra collection

Kwa wale ambao hatujui Four Leaf Clover ina maanisha faith, hope,love & lucky. Wakati wanaanza walianza na mikufu lakini wakaanza kutengeneza na bangili, hereni, pete na pendants. Watu maarufu mbalimbali wameonekana kuvalia vito hivi akipewepo Catherine, princess of the Wales.

Genuine Van Cleef & Arpels inatengenzwa kwa kutumia 18k yellow, white au rose gold. Well hivi karibuni tumemuona mwanamuziki kutoka Nigeria akiwa amevalia ya kwake,

ambapo tumezoea kuziona nyingi zikiwa na rangi moja iwe gold white, green au nyeusi ya kwake imeonekana kuwa na rangi tofauti tofauti ambazo zina  Diamond, Mother-of-pearl.

Ommy Dimpoz yeye ameonekana nazo mbili nyeusi na nyekundu ambayo nyekundu ina  yellow gold, Carnelian huku nyeusi ni yellow gold, Onyx

Bangili hizi zinaanza kuuzwa kwa Usd 5300 sawa na Tsh 13,311,750.30/-

Note: Inasemekana vito hivi vipo very delicate vinachunika kwa haraka,ni vyema usivae na accessories nyingine, usioge wala kupaka perfume ukiwa umeviavaa

Related posts