Tunapo sikia beauty start from with in haimaanishi tu kuwa na roho nzuri, lakini basi ni vitu ambavyo unakunywa na kula. Mara nyingi tunakula na kunywa vitu bila ya kujua madhara yake katika image yetu ya nje. Unaweza kuwa unakula kitu kumbe ndicho kinachozeesha na kuharibu ngozi yako ( No hatusemi uzee sio uzuri, bali wengi huwa tunakuwa na insecurities kwenye mambo fulani fulani na kujihisi uzuri wetu unapotea)
Well back to the point, kuna vinywaji mbalimbali ambavyo unavyoweza kunywa na kuachana na hizi soda, coffee ambazo zinaharibu ngozi zetu badala yake ukanywa hivi na vikakupa matokeo bora zaidi. , Mint na Limao Detox Water
Tango, Limao Na Mint Detox Water
- Liter 1 au 2 za maji
- Tango la size ya kati – 1
- malimao madogo – 2/3
- Organic mint leaves – 10/12

Namna ya kufanya
- Osha limao na matango kisha yakatevipande vidogovidogo
- weka vipande vya limao, matango na majani ya mint katika chupa yako
- funga na uweke kwenye fridge kwa masaa matatu au ilale usiku mzima
- Unaweza kunywa muda wowote kama maji ya kunywa.
- Haitokupa tu ngozi nyororo bali ni nzuri kwa kupunguza uzito na kufanya mmeng’enyo wako wa chakula kuwa rahisi.

Tikiti Maji Na majani Ya Mint
- 1-2 Lita za maji
- robo ya tikiti maji
- limao moja
- majani ya mint 10-13
Namna ya kufanya
- Kata vipande vya tikiti maji na weka katika jug
- kata vipande vya limao changanya na vile vipande vya tikiti maji
- changanya majani ya mint katika mchanganyiko wa vipande tikiti maji na limao kisha uweke na maji yako
- viache vilale katika fridge usiku tayari kwa matumizi yako ya siku inayofuata
Kunywa hivi vinywaji ni vizuri kwa ngozi yako lakini haimaanishi uache kufanya skin care routine yako, jali ngozi yako nje na ndani kwa matokeo bora zaidi.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 53839 more Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/detox-water-for-clear-glowing-skin/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 3525 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/detox-water-for-clear-glowing-skin/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 18233 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/detox-water-for-clear-glowing-skin/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/detox-water-for-clear-glowing-skin/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/detox-water-for-clear-glowing-skin/ […]