Mavazi ya ofisini yanaweza kuwa boring hasa kwa wale ambao wanavaa sare ofisini au ambao bado hatujajua namna ya kufanya mavazi hayo yawe stylish na yet yawe kiofisi zaidi, mara nyingi huwa tunakimbilia kwenye jewelry ambazo tunajua huwa zinaiunua vazi, lakini huwa tunakosea kwa kuvaa jewelry ambazo haziendani na sehemu husika.
Tuko hapa kukupa tips chache za Do & Dont’s wearing jewelry at the office
- Chagua Jewelry zinazoendana na mwili wako
Sababu kubwa accessories ni muhimu ni ku-control muonekano wako hasa kuondoa attention sehemu ambayo haitakiwi kuwa na attention, hivyo ni vyema kuchagua jewelry ambazo zinaendana na wewe na kuku-compliment bila ya kuweka attention kubwa isiyotakiwa.
Mfano Mikufu mirefu ni mizuri endapo unataka kufanya shingo yako ionekane ndefu, ila inaweza kuwa distraction endapo utavalia mkufu na vazi ambalo linaonyesha kifua hii itasababisha macho yote yawe kifuani, hakikisha unachovaa kinaendana na wewe na sehemu husika.
- Usivae Jewelry zinazo ng’aa sana au rangi kali
Tunajua tunapenda ku-match mavazi yetu na vito vyetu lakini kuna sehemu husika za kufanya hivyo, una mitoko nje unaweza kuvaa ofisini huitaji kung’aa sana, vaa zile zenye design na rangi zilizo calm.

- Limit Your Statement Pieces
Ni kweli statement jewelry zinanyanyua muonekano lakini kwa ofisini huitaji kuwa too bold, unaweza kuchagua kimoja kiwe statement wakati vingine vikiwa kawaida mfano unaweza kuvaa hereni statement huku kwingine kukiwa simple kama saa au mkufu.
- Usivae Jewelry Zinazopiga Kelele
Una tembea kutoka huko wafanyakazi wenzio wanasikia kelele za bangili au mikufu yako, vaa jewelry ambazo hazina kelele ilikuepuka kuleta usumbufu kwa wengine.
Tukutakie week njema.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…