SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Do Spa-Like Facials At Home
Habari

Do Spa-Like Facials At Home 

Weekends wengi tunapenda kwenda kujifanyia treatment za urembo kama kuosha na kusuka nywele, kwenda spa kwa ajili ya massage na matibabu ya ngozi hasa usoni. Lakini vipi kama huna pesa au unasikia uvivu kwenda Spa siku hio? haimaanishi usifanye vyote hivi unaweza kujifanyia vyote mwenyewe nyumbani tena basi kwa vitu ambavyo unavyo tayari.

Step 1: Ondoa Makeup Na Usafishe Uso

Kabla ya kufanya lolote kwanza kama ulikuwa na makeup usoni kwako inabidi uondoe, ili kuwezesha ngozi kupata treatment ipasavyo, inategemea na wewe uwa unafanyaje katika kuondoa makeup yako unaweza kutumia makeup remover au kienyeji kwa kutumia mafuta ya nazi

Namna ya kutumia mafuta ya nazi kuondoa makeup 

  • Chukua pamba itumbukize katika mafuta yako ya nazi
  • ukisha ridhika na kiwango cha mafuta katika pamba toa na uanze kufuta uso wako taratibu
  • utaona makeup inaondoka futa yote kadri uwezavtyo.

Safisha Uso.

Ili kujiandaa kwa ajili ya facial ni lazima usafishe uso wako vizuri kabisa kwa sabuni ili kuondoa mafuta ya nazi au make up remover au unaweza kutumia pia cleanser au asali

Namna ya kutumia Asali kusafisha uso

  • Hakikisha umesha osha uso wako vizuri
  • chukua kijiko kimoja cha asali na uanze kupaka usoni
  • sugua taratibu kwa dakika 5 ili upate kuondoa ngozi zilizo kufa lakini pia kuzibua vitobo vya ngozi vilivyo ziba.

Step 2: Steam/Mvuke

  • Chukua nguo safi ( preferably towel /taulo) weka katika maji ya vuguvugu likaushe kidogo na uweke usoni
  • pia unaweza kuchemsha maji ukaweka kwenye beseni au bakuli kubwa na kuliinamia upate mvuke.
  • kama una mafuta ya rose mary unaweza kuyaongezea ili kuongeza mchakato wa utakaso (cleansing process.)
  • steam uso wako kwa dakika 10-15 usizidishe.
  • kama una sensitive skin skip hii process inaweza kusababisha matatizo

Step 3 : Mask 

  • hapa inabidi ujue aina ya ngozi yako na mask gani unatakiwa utumie.
  • kwa wenye ngozi za mafuta unaweza kujaribu mud au clay mask ili kunyonya mafuta katika ngozi yako
  • kwa ngozi kavu hapa itabidi utumie mask ambazo zinasaidia kuongeza maji na mafuta katika ngozi yako
  • paka mask yako kwa dakika 15 na uoshe uso wako na kuukausha.
  • unaweza kutumia natural mask au read made mask za kununua madukani

Step 4 : Paka mafuta

ili kuilanisha ngozi yako na kuifanya ipendeze paka mafuta katika ngozi mara baada ya kumaliza hizi process zote, kisha baada ya hapo enjoy your glowing skin.

 

 

Related posts

3 Comments

  1. Albino Penis Envy Magic Mushrooms

    … [Trackback]

    […] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/do-spa-like-facials-at-home/ […]

  2. best microdose gummies

    … [Trackback]

    […] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/do-spa-like-facials-at-home/ […]

  3. roof skylight

    … [Trackback]

    […] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/do-spa-like-facials-at-home/ […]

Comments are closed.