SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

FACIAL CLEANSER ZA ASILI
Skin Care

FACIAL CLEANSER ZA ASILI 

Facial Cleanser ni kitu kinacho safisha ngozi ya uso kutokana na uchafu usoni kama make up, mafuta,cells za ngozi zilizo kufa, vumbi na chochote kile kisicho takiwa usoni, hii husaidia kupunguza matatizo ya ngozi kama chunusi pia kufungua mashimo yaliyo zibwa na uchafu.

Kwa sasa watu wengi hununua cleanser na chache ni nzuri ila nyingi ni mbaya una weza kupata ina uma ukisafishia au hata kuwasha na kuleta vipele usoni leo tuna kuletea facial cleanser ambazo unazo nyumbani lakini hukuwa unajua kama zina faa, mara nyingi facial cleanser hutumika jioni baada ya mihangaiko kabla au baada ya kuoga.

Mafuta ya nazi

benefits-of-coconut-oil-as-facial-cleanser

mafuta ya nazi si ya kuacha kuwa nayo nyumbani kwako yanakazi nyingi ki afya ya mwili, ngozi na nywele pia. Unacho takiwa kufanya baada ya mizunguko na una taka kusafisha uso wako chukua kiasi cha mafuta mkononi mwako, kisha paka usoni fanyia massage uso wako kwa dk 30 kisha chukua taulo weka kwenye maji ya uvuguvu na uliweke usoni kisha futa mafuta hayo, cleanser hii ina tumika na mtu mwenye ngozi ya aina yoyote si tu inasafisha ngozi bali pia ina moisturize ngozi yako na kuondoa makunyanzi ya uzee usoni.

Steps-for-How-to-Clean-Your-Face-with-Coconut-Oil

2)Apple Cider Vinegar Face Cleanser

Apple Cider Vinegar nayo si ya kukosa nyumbani kwako unacho takiwa kufanya ni kuchukua apple cider vinegar kwenye bakuli, chukua pamba na uanze kupaka usoni (kwa mtindo wa ku dab) kisha kama kwa mafuta ya nazi chukua taulo weka katika maji ya uvugu vugu na ufute uso wako, hii husaidia kuondoa mikunjo usoni.

www.howhunter.com_

3)Asali na Limao Facial clearance

Kabla ya kupaka facial cleanser yoyote kwanza chemsha maji weka katika beseni na uinamie mvuke kwa dk kadhaa ili kusaidia kufungua vitobo vya vinyweleo vilivyo zibika kisha, chukua vijiko viwili vya asali na kijiko kimoja cha  maji ya limao changanya na upake usoni na shingoni acha mkapa ikauke kisha ondoa kwa kuosha uso hii husaidia kuondoa vipele kutokana na limao na ku moisturize ngozi kutokana na asali

Lemon and honey

kama una swali ama maoni tafadhali tuachie katika kurasa zetu za mitandao ya kijamii

Instagram – afroswagga

Twitter – Afroswaggatz

Facebook -Afroswaggamag

Related posts