SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

FACIAL SCRUB KWA NGOZI ZENYE MAFUTA
Skin Care

FACIAL SCRUB KWA NGOZI ZENYE MAFUTA 

kwa kutumia vitu vichache kutoka jikoni, una weza kutengeneza na kupata face scrubs bila kuwa na wasiwasi wa kupata madhara kutokana na makemikali, kutumia kitu ulicho tengeneza mwenyewe kuna kupa nafasi nzuri ya wewe kuondokana na kuingiza makemikali katika ngozi yako.

Tutakupa njia tatu na rahisi za kutengeneza facial scrub kutoka nyumbani na tuta focus katika vitu vitatu

  1. Cleansing – kuonda make up, kusafisha mafuta, kukaza ngozi ya uso na kuondoa ngozi zilizo kufa (dead skin)
  2. Moisturizing – kuipa ngozi unyevu
  3. Exfoliating – Kusafisha na kuondoa ngozi zilizo kufa

Namna ya kufanya

  • Cleansing – process hii ina kusaidia kuondoa makeup, kutoa mafuta na kuondoa ngozi zilizo kufa hapa ina saidia kukinga ngozi yako dhidi ya chunusi (vipele) na kufungua vishimo vilivyo zibwa. una hitaji vitu vitatu, a) oatmeal (ngano nzima) b) Asali 3) mtindi

Chukua kijiko kimoja moja cha hivyo vitu vitatu vyote ( ngano nzima, asali na mtindi)

DSC_21032

 

changanya hivyo vyote katika bakuli na anza kupaka kwa mtindo wa duara kuanzia kwenye kidovu mpaka kwenye komwe (forehead) kaa nayo kwa muda wa dakika mbili kisha futa kwa maji ya uvugu vugu ukimaliza osha tena kwa maji ya baridi ili kufunga vitobo na futa kwa taulo safi.

  • Moisturizing  –  ili kuipa ngozi yako unyevu na isiwe kavu sana una takiwa kuwa na vitu vitatu a) limao b) baking soda c) asali

Breakouts-1

changanya kijiko kimoja kimoja cha sali, limao na baking soda anza kupaka kwa mtindo wa duara kuanzia kwenye kidovu mpaka kwenye komwe (forehead) kaa nayo kwa muda wa dakika mbili kisha futa kwa maji ya uvugu vugu  na futa kwa taulo safi.

  • Exfoliating– ili kupata ngozi nyororo na yenye ung’avu tumia sukari ya brown, olive oil na asali

577b4-lipexfoliator-600x250

chukua kijiko kimoja kimoja cha asali,olive oil na sukari ya brown changanya anza kupaka kwa mtindo wa duara kuanzia kwenye kidovu mpaka kwenye komwe (forehead) kaa nayo kwa muda wa dakika mbili kisha futa kwa maji ya uvugu vugu  na futa kwa taulo safi.

 

 

 

Related posts