Kwa wapenzi wote wanaopenda kuwa na nywele ndefu za kupendeza, Je wajua hakuna mafuta yanayokuza nywele? Kwamba ukipaka nywele yako itakua haraka ?
Kwa miaka mingi tumeamin sana kwamba ukipaka mafuta fulani ya nywele yanakuza nywele haraka na tumeakua tukitafuta mafuta yanayokuza na kujaza nywele.
Kikawaida sisi wa Waafrica wengi nywele zetu zinangukia type 4 na type hii ni nywele inayokua lakini taratibu na kila mwezi kwa type hii nywele inakua 0.5 nchi ikiwa na maana ndani ya miezi 6 nywele yako inakua nchi 3 na kwa mwaka mzima nywele yako inakua 6 nchi.
Swali mbona nywele yako haikui ? au mbona nywele yako iko pale pale mwaka mzima ukiwa na tatizo hili jua kunatatizo katika ukuaji wa nywele yako

Nywele ni kama bustani inahitaji matunzo inahitaji maji, mbolea na pia isipate ukavu wowote maua yatanyauka .
Nin ufanye nywele yako ikue :
- Kua na ratiba nzuri ya nywele (hair routine) nywele yako inahitaji steaming mara kwa mara, inahitaji maji ilikuweza kuipa unyevu isiwe kavu.
- Tumia vitu natural punguza matumizi ya bidhaa za nywele zenye chemical kali sio tu kuharibu nywele bali hata ngozi ya kichwani.
- Jitaid kusoma lable kuna ingridients kama sulfates, parabens,petroleum etc hazifai kwa nywele yako.
- Usitumie moto kukaushia nywele yako inaharibu structure ya nywele yako na pia kuunguza layers za nywele yako.
- Fanya Haya Kuacha Kuharibu Nywele Zako Na Matumizi Ya Moto
- Kula chakula ambachokipo balanced ili uweze kupata nutrients za kutosha kama vitamins, proteins , na madini mbali mbali kama ya chuma yatakusaidia nywele yako kukua vizuri

Nywele nzuri ni zaid ya kupaka mafuta, mafuta kazi yake nikuzuia unyevu usitoke kwenye nywele yako baada ya kua umeipa nywele yako unyevu, Na kuongeza virutubisho kwenye nywele yako ili iweze kukua vizuri nayakupendeza.
Imeandaliwa na @letsgonaturaltz
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/fahamu-njia-za-kukuza-nywele-zako/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/fahamu-njia-za-kukuza-nywele-zako/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/fahamu-njia-za-kukuza-nywele-zako/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/fahamu-njia-za-kukuza-nywele-zako/ […]