Kama utakua ni mpenzi wa mitandao ya kijamii utakua umeona pages nyingi sana zinazo husiana na Natural Hair, kuna watu wengi wame zi follow lakini hawajui ni nini hasa kinaendelea. Wengi hudhani wale watu wanatoa ushahuri tu kuhusu nywele na ni wengi ndivyo wafanyavyo, Lakini hii movement hasa ina husu kuhusu kujikubali, kuzikubali nywele zako na kuzitunza bila kuweka madawa, Natural hair zinaweza kukua vizuri na kuwa ndefu sana endapo tu utazijali.
Si kwetu tu aAfrica hata huko Nchi za magharibi wanawake wenye asili ya kiafica hutumia madawa kurefusha nywele hii uharibu nywele zao na kufanya ziwe nyepesi wakati wana uwezo wa kukuza nywele zao kawaida zikakua na afya yake nzuri.
hii ovement ilianzishwa katika miaka ya 2000 ilivyo anza ilikua ina itwa movement nappy ikaja kuitwa “nappy girls” au “nappies,” lakini siku zilivyo kuwa zina zidi kwenda na hii movement kukua ikabadilishwa na kuitwa natural hair movement, Tanzania zipo accounts nyingi za hii movement kuna naturalhairtanzania na abeenaturals hizi ndizo kidogo kubwa kwa sasa una weza kutembelea account zao kujua zaidi.
wana fundisha protective styles ambazo zitakusaidia nywele zako zisikatike, mafuta ya kupaka na namna mbali mbali za kuzijali nywele zako lakini kubwa tulilo liona ni kumfanya mwanamama wa ki Africa kujikubali na kujipenda vile alivyo.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/fahamu-zaidi-kuhusu-natural-hair-movement/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/fahamu-zaidi-kuhusu-natural-hair-movement/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/fahamu-zaidi-kuhusu-natural-hair-movement/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 64151 additional Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/fahamu-zaidi-kuhusu-natural-hair-movement/ […]