Inawezekana ukawa unakula haya matunda lakini hujui faida zake nyingine, unakula tu kwa sababu unayapenda. Ukiachana na utamu zambarau zina faida nyingi katika urembo lakini pia katika afya, leo tunakuletea namna ambavyo unaweza kutumia zambarau kutibu aina mbalimbali ya vitu katika ngozi.
- Hutibu Chunusi
Mbegu za zambarau ni tiba nzuri ya chunusi, unachotakiwa kufanya ni kuchukua mbegu kavu (zilizo kaushwa) za zambarau ponda kisha changanya unga wa mbegu hizo na maziwa ya ngo’ombe, paka eneo lililo athirika na chunusi kaa nayo kwa dakika 15 kisha uoshe kwa maji ya uvugu vugu.
Kumbuka huwezi kutibu chunusi papo kwa papo kwahio tiba hii itachukua muda mpaka uanze kuona matokeo, lakini pia paka mara kwa mara kwa matokeo ya haraka.
- Kungarisha Ngozi
Kama una dark spot zilizotokana na chunusi au maradhi mengine ya ngozi, basi mbegu za zabibu ni jibu lako. Unachotakiwa kufanya ni kupata unga wa mbegu za zambarau, almond oil na rose water. Changanya mahitaji yako kwa pamoja kisha pakaa usoni, kaa nao kwa muda mpaka ukauke kabisa katika uso wako kisha osha na maji ya baridi.
Unaweza kufanya hizi mara mbili kwa week ilikupata matokeo bora
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-2-muhimu-za-zambarau-katika-ngozi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-2-muhimu-za-zambarau-katika-ngozi/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 49697 additional Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-2-muhimu-za-zambarau-katika-ngozi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-2-muhimu-za-zambarau-katika-ngozi/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 26495 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-2-muhimu-za-zambarau-katika-ngozi/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 73497 more Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-2-muhimu-za-zambarau-katika-ngozi/ […]