Inawezekana umeshawahi kuona hii iced water facial kwenye mitandao ya kijamii, ni urembo wa ngozi ambao una trend sana sasa hivi unaweza ukawa umeiona na ukajiuliza je inafaida gani katika ngozi leo tupo hapa kukuelezea;
- Inafanya ngozi kuwa ngumu
Umri unavyozidi kwenda ndivyo ngozi zetu zinavyozidi kulegea, ukitumia huu urembo unafanya ngozi yako kuwa ngumu. Kama unapenda kupunguza ishara za kuonekana mzee kama mikunjo na ngozi kushuka basi tumia iced water facial
- Husaida Makeup Kukaa Kwa Muda Mrefu
Duniani kwasasa tunafuata sana tricks za urembo hasa makeup kutoka Korea, na urembo wa Korea asilimia kubwa unatumiaice water facials. Process ya iced water facial kwa makeup ni kuingiza uso wako katika bakuli la maji lenye barafu kwa dakika 3-4 kisha unaukausha uso na kupaka makeup yako kama kawaida hii husaidia kufanya makeup yako ikae kwa muda mrefu.
- Kupunguza Wekundu
Wengi wetu tuna tatizo la wekundu kwenye nyuso hasa wale tunaotumia vipodozi vikali, basi unaweza kutumia iced water facial na ikaondoa kabisa wekundu huo na kufanya ngozi yako kuonekana smooth, younger & flawless
Vitu Utakavyo Hitaji Kufanya Iced Water Facial
- Bakuli
- Barafu
- Maji
Namna Ya Kufanya
Chukua bakuli kisha tia maji na vipande vyako vya barufu, Ingiza uso wako katika mchanganyiko huo na ukae kwa sekunde 10-15 fanya hivyo mara 4-5, wakati unaendela uso wako utaanza kuhisi kufa ganzi, lakini kufanya hivi mara mbili hadi tatu kwa week kutakupa matokeo mazuri, unaweza kuongezea vipande vya matango, rose patels, essentials kama lavender au green tea bags chochote ambacho utapendezwa nacho.
Kama umeshawahi kutumia urembo huu tuambie matokeo yake uliyaona?
Related posts
7 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-iced-water-facial/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-iced-water-facial/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-iced-water-facial/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-iced-water-facial/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-iced-water-facial/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 98106 more Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-iced-water-facial/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-iced-water-facial/ […]