Apple cider vinegar ni kitu ambacho kina sifika kwa sasa katika natural skincare product, wanawake wengi wame kuwa wakiisifu bidhaa hii na kusema ina fanya wonders katika ngozi. Leo tuna namna rahisi ya kutumia bidhaa hii na ukapata matokeo mazuri unacho takiwa kufanya ni kumimina kiasi kidogo cha apple cider vinegar katika kikombe cha maji unayo oshea uso ukapata faida hizi katika ngozi ya uso wako.
- Ina saidia kuondoa weusi na alama zilizo achwa na chunusi, apple cider vinegar ina alpha hydroxy,amabyo ina saidia ku renew dead skin cells pale unapo osha uso wako kwa kutumia apple cider vinegar basi itaondoa ule uchafu wote ulio achwa na chunusi.
- Inasaidi kupunguza chunusi na vipele usoni, apple cider vinegar ina malik acid ambayo ina saidia kupigana na bacteria wanao sababisha chunusi.
- Ina balance ph katika ngozi, ambayo ina maanisha ku balance mafuta katika ngozi kutasaidia kuwa na chunusi chache
- Ina saidia kuondoa mikunjo ya uzee usoni, apple sider vinegar ina saidia kuondoa mikunjo usoni una weza kuosha kila siku au tumia pamba miminia apple cider vinegar halafu weka katika mikunjo.
- ina saidia kufanya ngozi iwe soft, ukiosha uso wako kwa kutumia maji uliyo weka kiasi kidogo cha apple cider vinegar itasaidia kukufanya ngozi yako kuwa soft na smooth
NOTE: HAKIKISHA UNA DILUTE APPLE CIDER VINEGAR YAKO KABLA YA KUPAKA USONI, KWA MAANA NI KALI MNO INA WEZA KUFABABISHA NGOZI KUKAUKA NA KUSABABISHA INFECTIONS. CHUKUA KIASI KIDOGO CHA APPLE CIDER VINEGAR NA KIASI KINGI CHA MAJI.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…