SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Faida Za Kutumia Sabuni Ya Mchele Katika Ngozi
Urembo

Faida Za Kutumia Sabuni Ya Mchele Katika Ngozi 

Inawezekana unakula wali kilasiku lakini inawezekana hujui kwamba mchele unaotumika kupikia wali unaweza kutengeneza sabuni na zinafaida mbalimbali katika ngozi, Yes kuna faida mbalimbali za urembo katika mchele kuanzia kwenye nywele mpaka ngozi.

Sabuni zilizotengenezwa kwakutumia mchele zinasaidia kukupa softness katika ngozi yako, kung’arisha ngozi nk. Korean, Japanese na Asian wanatumia sana mchele katika vipodozi vyao.

Faida Zake Ni:

  • Zinasaidia kung’arisha ngozi yako
  • Inasidia kuipa ngozi yako rangi moja kama utaitumia mara kwa mara
  • inasaidia kung’arisha makovu na dark spots katika ngozi
  • Inasaidia kuipa ngozi unyevu
  • Kama sabuni hii itakuwa imechanganywa na asali basi itafanya ngozi yako kuwa soft & smooth
  • Inasaidia kuponya dark lips
  • Inasaidia ku-soothes ngozi yako kama imeharibika na jua

Unatumiaje Sabuni Ya Mchele?

  • Kama ambavyo unatumia sabuni nyingine unaweza ki-massage gently sabuni hii kwenye uso kwa dk 2-3 na kisha kuosha vizuri uso wako

Je Sabuni Hii Ni Nzuri Kwa Vipele/Chunusi?

  • Hakuna ushahidi wa ki-sayansi kwamba sabuni hii inaweza kusaidia kutibu chunusi/vipele

Kama wewe ni mpenzi wa kutumia vipodozi vyaasili ambavyo havijachanganywa na makemikali mengi basi unaweza kujaribu sabuni hizi ambazo huuzwa tsh 3000 mpaka 4000 mtaani.

Related posts

7 Comments

  1. ufabet24h

    … [Trackback]

    […] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-kutumia-sabuni-ya-mchele-katika-ngozi/ […]

  2. Buy DMT Vape Pen Melbourne

    … [Trackback]

    […] Here you will find 1299 more Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-kutumia-sabuni-ya-mchele-katika-ngozi/ […]

  3. hawaiian magic mushrooms

    … [Trackback]

    […] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-kutumia-sabuni-ya-mchele-katika-ngozi/ […]

  4. Oregon shroom dispensary

    … [Trackback]

    […] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-kutumia-sabuni-ya-mchele-katika-ngozi/ […]

  5. คาสิโนออนไลน์เว็บตรง

    … [Trackback]

    […] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-kutumia-sabuni-ya-mchele-katika-ngozi/ […]

  6. Fryd vape

    … [Trackback]

    […] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-kutumia-sabuni-ya-mchele-katika-ngozi/ […]

  7. jetsurf electric

    … [Trackback]

    […] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-kutumia-sabuni-ya-mchele-katika-ngozi/ […]

Comments are closed.