Hakuna kitu kina kufanya ujisikie vyema baada ya siku ndefu na uchovu kama kukaa sehemu tulivu ukiwa unakunywa mvinyo (wine), ukiachana na kukufanya u-relax lakini pia mvinyo unafaida katika nywele na ngozi yako. Leo tunakupa faida 5 unazozipata kutokana na kunywa red wine.
- Kupambana na chunusi
Mvinyo mwekundu una resveratrol ambayo hupunguza ukuaji wa bakteria inayosababisha chunusi. Kunywa glasi ya mvinyo pia inaweza kuzuia kuenea kwa keratinocyte ambayo inahusika na kusababisha vidonda vya chunusi. Watu wengine pia wanaamini kuwa kutumia red wine kwa kupaka usoni kunaweza kukusaidia husafisha pores.
Mambo Matatu (3) Ya Kuzingatia Ili Kupata Kipodozi Kinachoifaa Ngozi Yako
- Kung’arisha Ngozi
Unataka ngozi inayong’aa na nzuri asili? Jiagize glasi ya mvinyo mwekundu pale utakapokwenda kunywa vinywaji. Polyphenols katika red wine hubadilisha (Kutoa ) rangi dhaifu na kusaidia kukupamng’ao katika ngozi yako. Inasaidia pia kuondoa stress katika mwili wako na kuzuia uharibikaji wa ngozi unaotokana na stress hizo. Lakini pia kupaka mvinyo huu mwekundu moja kwa moja kwenye uso wako na kusugua kwa dakika chache pia kunaweza kufanya ngozi yako kung’aa.

- Inapunguza ngozi kuaribuwa na jua
Ingawa haiwezi kuchukua nafasi ya sun screenjua, red wine ina vioksidishaji na asidi ya amino, ambayo ina kizuizi cha asili kwenye ngozi yako na kuilinda kutokana na miale yenye nguvu ya UV ya jua. Lowesha pamba kwenye red wine paka juu kwenye sehemu iliyoathiriwa na kuchomwa na jua kunaweza kupunguza hali ya kuchomwa na jua na kuponya eneo lililoathiriwa haraka.
Umuhimu Wa Kupaka Sunscreen Katika Ngozi
- Kusaidia Ukuazi Wa Nywele
Kunywa red wine pia kunahusishwa na kuboresha mzunguko wa damu mwilini, pamoja na kichwa. Hii inasaidia ukuzaji na ukuaji wa nywele na kuzuia upotezaji wa nywele. Unaweza pia suuza nywele zako na mvinyo mwekundu. Baada ya kuosha nywele zako na shampoo suuza nywele na mvinyo mwekundu hii itasaidia kukupa nywele zenye afya na zinazong’aa
- Husaidia Kukarabati nywele zilizoharibiwa
Mvinyo mwekundu una virutubisho ambavyo husaidia kukarabati nywele ambazo zimekatika au kuharibiwa na moto. Changanya mvinyo mwekundu na maji kisha suuza nywele zako kuanzia kwenye shina mpaka kwenye ncha.
wakati mwingine ukikaribishwa red wine usikatae.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-red-wine-katika-ngozi-na-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-red-wine-katika-ngozi-na-nywele/ […]