Umesha wahi kusikia au kuambiwa unywe tende na maziwa katika mwezi huu mtukufu? wengine huwa wanashauri unywe kama una fanya mazoezi, wengine ushauri kama wewe si mpenzi wa kula daku basi aumke unywe tende na maziwa vina aminika kwa kuwa na uwezo wa ku-boost energy mwilini well lakini kuna faida nyingine za tende na maziwa ambazo utazipata ukiachana na kuboost energy
- Kuipa ngozi yako ung’avu ( skin glow )
Well tende na maziwa vinaaminika kuwa na vitamin C ambayo husaidia kufanya ngozi iwe na unyevu lakini pia kuifanya ngozi iwe laini, maziwa yana aminika kuwa na Vitamin B12 ambayo husaidia katika kufanya ngozi ipate mng’ao na kutibu chunusi na madoa.
- Kusaidia kukinga ngozi na mikunjo ( anti – aging )
Maziwa yana Vitamin D ambayo husaidia katika kuondoa mikunjo ya ngozi, kufanya ngozi yako ionekane kijana zaidi pia tende husaidia katika kufanya ngozi ipate afya na kuondoa mikunjo.
Katika upande wa nywele Tende na Maziwa
- Stronger & shiny hair
Tende zinavirubisho ambavyo husaidia kufanya nywele zako ziwe kakamavu wakati maziwa yenyewe yanasaidia kuleta mng’ao katika nywele zako.
- Kufanya Nywele Ziwe Na Afya
Tende zina vitamin B ambayo husaidia kuzipa nywele afya.
Kutengeneza mchanganyiko wa Maziwa na Tende
Chukua tende kiasi ondoa mbegu, chukua na maziwa glass moja changanya na tende katika blender weka barafu kidogo na u-blend mpaka vitakapo changanyika vizuri tayari kwa kunywa.
Kutokana na huu mwezi mtukufu wengi huwa hawana muda wa kujali nywele na ngozi zao tunadhani hii ni njia rahisi ya kukuwezasha kufunga, kuwa na nguvu na bado kufanya nywele na ngozi yako kuwa katika hali nzuri.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-tende-na-maziwa-katika-mwili-na-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-tende-na-maziwa-katika-mwili-na-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/faida-za-tende-na-maziwa-katika-mwili-na-urembo/ […]