Mara nyinigi wanawake hawapendi kukata nywele kwa kuamini hawato pendeza hata ufanya nini lakini kumbe ni tofauti kabisa inategemea na namna ambavyo utaziweka na kujiweka. Tumeona jinsi ambavyo Faiza Ally na Fezza Kessy walivyo rock low cuts zao na kupendeza katika red carpets.
Faiza Ally
ali rock low cut yake vizuri kabisa katika hafla aliyo iandaa mwenyewe ya single mom power, ambapo alivaa a mustard trouser, sheer black top
Lakini tulicho penda zaidi ni make up yake ambayo alifanyiwa na makeup artist Sally The Mua, her makeup was perfect, the neutral color eye shadow, eye brows on fleek with a pop of bold pink lipstick iliyofanya uso upop vizuri kabisa.
lakini pia mwanamuziki Feza Kessy nae alionekana kutupa wig pembeni na kurock low cut yake katika hafla ya Malkia Wa Nguvu
Feza alikuwa moja ya best dressed wetu walivaa a sheer black & nude dress akamalizia na gold heels
Na yeye akatuvutia sana na makeup yake ambapo yeye make up artist wake aliamua ku-concetrate kwenye macho, alimpaka silver eye makeup /shadow ambayo ilifanya sura yake ichangamke, eye brows zilikuwa perfect done akamalizia na nude lipstick.
Tuambie makeup ya nani imekuvutia zaidi kati ya Faiza na Feza Kessy?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/faiza-ally-na-feza-kessy-wakituonyesha-namna-unavyo-weza-kupendeza-na-nywele-fupi/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 3896 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/faiza-ally-na-feza-kessy-wakituonyesha-namna-unavyo-weza-kupendeza-na-nywele-fupi/ […]