Kwa wapenzi wote wanaopenda nywele hakuna kitu kinachoua nywele kama matumiz ya moto unaotokana na dryer, blow dryer au pasi .
Wengi wanaamin kua njia pekee ya kukausha au kunyoosha nywele ni kutumia moto lakin hayo ni makosa makubwa sana katika utunzaji wa nywele yako
Madhara ya moto kwenye nywele yako.
- Inakausha unyevu wote ulioko kwenye nywele yako na kua kavu na kukatika.
- Inaharibu hair structure yako na kua dhaifu.
- Inaharibu protein bonds ya nywele na kua dhaifu sana.
- Inaunguza hair layer nakuifanya dhaifu
- Inabadili rangi ya nywele yako ilivyokua nyeusi na kua ya brown
Nini cha kufanya ili uweze kuepuka moto
- Baada ya kuosha nywele yako kausha na Tshirt ya cotton au micro fiber towel.
- Baada ya hapo ipake nywele yako leave in conditioner (water based product)
- Halaf unaweza kusuka nywele ya uzi ,twist au hata ukasuka hakuna shida yoyote

Kwa wale ambao mlikua mnatumia moto sana inamaana kwasasa nywele zenu zina heat damage na ndio maana nywele zenu hazijai wala kuota vizur tena kwakua zimeharibiwa na moto yafuatayo yatakusaidia kurudisha nywele zako katika hali nzuri
- Andaa hair routine nzuri uwe unafanya steaming(deep conditioner) mara kwa mara kama ya protein mara moja kwa mwez na nyingne water based products.
- Acha kabisa kutumia moto tena iliusiharibu nywele yako tena.
- Tumia natural products kwenye nywele yako kama avocado, ndiz,asali, majan ya mpera ,mronge zitasaidia kurudisha nywele yako kwa hali ya kawaida kwakua hzi zinadirect nutrients kwenye nywele yako.
- Kurudisha nywele kua katika hali yake inategema kwakua kila nywele inategemea inaharibika kwa kiwango gani.
Kwahiyo ushauri wangu usitumie moto tena kausha nywele yako kwa air drying.
Imeandikwa na @letsgonaturaltz
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…