Hakuna kitu kibaya kama weaving lililo choka, yani ni bora kusuka vitunguu au twende kilioni, na kibaya Zaidi kama hilo weaving umenunua bei ghali basi roho itakuuma mpaka basi, hizi ni namna za kufanya weaving lako lionekane jipya hata kama umesukia mara mia lakini hii ni kwa ajili ya Human hair weaving (Extension)
- Osha weaving lako
- Lichane weaving lako kuanzia juu mpaka chini, hadi pale litakapo nyooka na kukaa sawa
- Paka mafuta ya asili kama mafuta ya nazi, almond, olive, jojoba na kadhalika.
- Chana tena weaving lako mpaka lichambuke vizuri (lisishikane na mafuta)
- Weka weaving lako katika mfuko wa plastic na funga kwa nguvu/kaza mfuko, hakikisha mfuko huu si wa kuyeyuka ukiingizwa ndani ya microwave
- Ingiza weaving kwenye microwave na uliache kwa dk1 hadi 2
- Toa mfuko wako ukiwa wa moto na uufunike katika taulo kwa dakika 10
- KAUSHA NYWELE YAKO
TAZAMA VIDEO HAPO CHINI
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/dondoo/fanya-hivi-kulipa-weaving-lako-muonekano-mpya/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/dondoo/fanya-hivi-kulipa-weaving-lako-muonekano-mpya/ […]