New Mom in Town Vanessa Mdee ame-upgrade nywele yake & we are happy about it, Vanessa amekuwa akiweka nywele yake moja ambayo inamuhitaji kuweka baby hairs na by the look of it kama sio hair stylist wake basi yeye mwenyewe hakuwa anazipatia hii ikasababisha gumzo mtandaoni kuhusu baby hair zake.

Imeonekana amesikia kilio cha wengi na kuamua kuachana na hii nywele na kubalisha kwenda kwenye nywele mpya ambayo haina stress ya baby hair, na kutokana na caption yake inaonekana sio sisi tu ambao tumefurahia huu muonekano mpya bali hata shemeji yetu Rotimi A.K.A Mr. Butterscotch amependezwa nao pia.

Kuweka baby hair sio rahisi kama ambavyo tunadhani lakini siri ipo kwenye kifundo cha mkono, ni muhimu kulegeza na ku-control movement zako za mkono kuhakikisha huweki baby hair mpaka zikaonekana sio baby hair bali ni grown up hair.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/finally-vanessa-mdee-ditched-the-baby-hair-weaving/ […]