Juma Jux ni moja kati ya wasanii wanaopenda kwenda na wakati, mara nyingi huwa anajaribu kuwa wa tofauti kwa kujitofautisha mavazi na wengine. Kuanzia mwaka jana mwishoni tumemuona Juma akiwa anabadilisha style yake to more of retro vintage style. Anachanganya mavazi kitu ambacho tumependa anaonekana tofauti.
Kwa sasa tume muona Juma Jux akiwa fan wa kuvaa headband ambazo ni kutoka kwa Gucci. Tunajaribu kutafuta ilitugundue kama hizi headband ni original au fake, lakini kama ni original hizi headbands zinauzwa Usd 270 sawa na pesa za ki-Tanzania 613,251/-
Anazo Headband hizi tatu ya stripe ambayo aliivaa na Tank Top / Vest ya cream yenye maandishi mekundu na meusi, alimalizia muonekano wake na track pants nyeusi yenye stripes nyekundu. Ame add jewerly kama hereni, saa na mikufu.
Lakini pia anayo hii nyekundu yenye maandishi ya logo ya Gucci ambayo ameivalia na t-shirt nyekundu iliyo endana na headband, amemalizia muonekano wake kwa kuvaa glasses na kuongezea mikufu, hereni na saa. Seems like Juma hawezi kutoka bila jewerlies.
Ya tatu ambayo tumemuona nayo ni hii Elastic Web Headband ambayo nayo inathamani sawa na zilizopita, hii aliivalia na T-shirt nyeusi cardigan sweater ya kijani ambayo ina stripes nyeupe na nyeusi.
Kama hizi headband ni original basi Juma ametumia 1,839,753/- kwa zote tatu. Je the headband’s worth the price?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/gucci-headband-anazozivaa-juma-jux-zinathamani-ya-tsh-613251/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/gucci-headband-anazozivaa-juma-jux-zinathamani-ya-tsh-613251/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/gucci-headband-anazozivaa-juma-jux-zinathamani-ya-tsh-613251/ […]