Hii ndo sehemu ya kujua watu maarufu gani wana style gani ya nywele ili na wewe upate kuiga muonekano huo, leo tuna unique hair styles kutoka kwa Elizabeth Michael “lulu”, Gigy Money, Vanessa Mdee na Jacqueline Wolper
Vanessa ana hizi braids mwenyewe ana ziita “Bantu Kushite ” amependeza mno
Gigy ana Havanna Twist za rangi mbili kama una weza u can rock them uonekane wa tofauti
Wolper ana Kiduku cha ku bond, ambapo hii nywele ni blonde ambayo ina steps za blonde kuna iliyo koza hadi ilio pauka kabisa
Elizabeth “lulu” ameamua kuweka nywele nyekundu.. kapendeza pia
tupe maoni yako nani kanoga na nani kazingua pia unaweza
Tufollow instagram @afroswagga
Twitter @AfroswaggaTz
Facebook AfroSwagga
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/hair-do-kutoka-kwa-vanessaluluwolper-na-gigy/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/hair-do-kutoka-kwa-vanessaluluwolper-na-gigy/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/hair-do-kutoka-kwa-vanessaluluwolper-na-gigy/ […]