Waswahili husema mwanamke nywele lol japo hili neno hutumikaga sehemu nyingi hasa kile ambacho mtu kabarikiwa nacho ina weza ikawa mwanamke jicho au chochote lakini leo kwa sababu tunaongelea nywele acha ikae kama mwanamke nywele.
Kwa sasa watu wengi wana fanya healthy hair journey na kwa sababu hio trend nyingi za nywele kwa sasa ni zile protective hair styles ambazo hazikati nywele na hizi ndizo zinazo bamba kwa sasa
faux locks ziko kwenye trend sana kwa sasa na hasa baada ya Rihanna kusukia una weza kusuka kama crochet ili ku protect nywele zako na kukatika
Cornrows achana na twende kilioni tano sasa hivi zipo style nyingi sana za kusuka twende kilioni ambazo zina wafaa watu wa rika tofauti tofauti
Natural Afro – Hizi ni nzuri zaidi maana ina onakeana kama natural hair yako pia una weza kusukia kama crochet ambapo rasta za kutumia ni marley braids au afro kikny
Duchess Braid Wrapped – Jokate is a queen linapo kuja swala la protective hair styles na hii ni yake tulio iona nayo si mbaya kuijaribu
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…