Mwanamuzi kutoka kundi la WCB wasafi ambae ana hit kwa kiba chake cha matatizo Harmonize ame kuwa gumzo katika mitandao ya kijamii na hii style yake mpya ya nywele, wengi wakisema kwamba haja pendeza ana pendeza akiwa na cuts za kiume za kawaida
Kiukweli si kila kitu wanacho fanya wenzetu nje na sisi ni lazima tufanye na kama tuna fanya basi pia tuangalie je itaendena na mionekano yetu?
harmonize kaamua kusuka na yeye, tulisha uona huu muonekano kwa jux, lakini yeye ame kuwa attacked zaidi sababu watu wana hisi akiwa na muonekano wa kawaida ana pendeza zaidi ya akijiongezea hivi
huu muonekano wa kawaida wa Harmonize je wewe ume penda upi? kawaida au rasta?
Tuachie maoni yako chini kwenye box la maoni
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/harmonize-ageuka-mjadala-na-hii-style-yake-mpya/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 47434 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/harmonize-ageuka-mjadala-na-hii-style-yake-mpya/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 57067 additional Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/harmonize-ageuka-mjadala-na-hii-style-yake-mpya/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/harmonize-ageuka-mjadala-na-hii-style-yake-mpya/ […]