Ulisha wahi kufikiria kinywaji ukipendacho kina faida gani au hasara gani katika urembo? basi hivi ni baadhi ya vinywaji ambavyo wengi tunavitumia kila siku bila kujua faida na hasara zake mwilini mwetu
Maji: husaidia ngozi kuwa safi ki asili, yana faida kubwa sana katika swala zima la urembo, husaidia kuondoa sumu mwili na hivyo upunguza kupata na chunusi, pia hufanya ngozi kuwa nyororo na kuonekana kijana wakati wote na huondoa makunyanzi ya uzee. ukiachana na faida za maji kwenye ngozi maji pia husaidia ukuaji wa nywele.
Maji ya madafu: kama wewe ni mpenda urembo hakikisha hukosi maji ya madafu yana saidia sana katika ngozi, maji ya adafu yana vitamin C ambayo husaidia kuponyesha ngozi zilizo haribika, pia yana sidia ngozi kuto kuzeeka mapema pia husaidia kupingana na uharibu wa jua katika ngozi.
Kahawa: japo ni kinywaji kizuri na kinacho saidia hasa kipindi cha asubuhi lakini wasomi wana sema kina athari katika baadhi ya sekta ya urembo, kahawa huongeza mafuta mwilini kwa sababu ina acid nyingi hii husababisha wale wenye mapenzi na unywaji wa kahawa nyingi mara kwa mara kutokwa na chunusi, pia husababisha ngozi kuzeeka haraka japo pia ina faida zake katika ukuwaji wa nywele.
Pombe: pombe si mbaya tu katika kunywa na kuendesha bali mbaya pia katika sekta nzima ya urembo, pombe husababisha ngozi kusinyaa na kuonekana imezeeka pia mbaya katika nywele ina sababisha nywele kudhoofu, kuwa kavu na kukatika, kuwa muangalifu na unywaji wako wa pombe.
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/hasara-na-faida-za-hivi-vinywaji-katika-rembo/ […]